Mgombea Urais wa Chadema anayeungwa mkono na vyama vinavyo unda umoja wa Katiba ya Wananchi [UKAWA],Edward Luwassa ,ametoa tahadhari kwa watendaji na viongozi wa serikali watakaowanyanyasa wa kada ya chini kama Boda boda,na Mamantilie,watakiona cha moto
Pia,Luwassa amewaahidi Watanzania utumishi uliotukuka pindiwatakapomchagua kuongoza serikali ya awamu ya tano baada ya Rais Jakaya Kikwete kumaliza muda wake
Luwassa ,ambaye ni Waziri Mkuu wa zamani aliyasema hayo jana katikamkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja waMbulu,Kahama,Mkoani Shinyanga ukitanguliwa na mikutano miwili ya Kishapu na Solwa.
Luwassa ,ambaye ni Waziri Mkuu wa zamani aliyasema hayo jana katikamkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja waMbulu,Kahama,Mkoani Shinyanga ukitanguliwa na mikutano miwili ya Kishapu na Solwa.
No comments
Post a Comment