Header Ads

Header ADS

MWENYEKITI WA CHAMA TAIFA CHA [NLD] EMMANUEL MAKAINDI AMEKUFA.

Mwenyekiti huyu ambaye  ni mshirka mwenza wa Umoja wa Katiba ya Wananchi [UKAWA] Amekufa kwa ugonjwa wa shinikizo la damu










Mwenyekiti huyo ambaye pia alikuwa kiungo maalumu katika UKAWA ,Ameachapengo kubwa la mchango wake katika umoja wa katiba ya wananchi.












No comments

Powered by Blogger.