Header Ads

Header ADS

Basi la Majinja lapata ajali Kitonga

Basi la kampuni ya Majinjah ambalo lilikuwa safarini kutoka Kyela kuelekea Dar, limepata ajali maeneo ya Kitonga leo.
Mashuhuda wanadai chanzo cha ajali ni kufeli kwa breki za basi hilo.
RPC Iringa amesema tayari RTO ameelekea eneo la tukio na baadae watatoa taarifa kwa undani.



  Tutaendelea kuwajuza pindi habari itakapokamilika

No comments

Powered by Blogger.