Header Ads

Header ADS

Rais Magufuli alivyowasili Zanzibar


Rais waJamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli amewasili kisiwani Zanzibar kwa ajili ya kuanza ziara yake kisiwani humo pamoja na kuhudhuria Sherehe za miaka 56 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt,John Pombe Magufuli akisalimiana na Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar Baloz Seif Ali Idi mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Aman Abeid Karume tayari kwa  kuanza ziara yake ya siku mbili pia kuhudhuria  Sherehe za miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt,John Pombe Magufuli akisalimiana na Viongozi mbalimbali  mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Aman Abeid Karume tayari kwa  kuanza ziara yake ya siku mbili pia kuhudhuria  Sherehe za miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt,John Pombe Magufuli akiangalia Ngoma za Utamaduni  mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Aman Abeid Karume tayari kwa  kuanza ziara yake ya siku mbili pia kuhudhuria  Sherehe za miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar.

No comments

Powered by Blogger.