Header Ads

Header ADS

Tetesi za soka Ulaya Jumapili 27.09.2020: Aouar, Rice, Rudiger, Fati, Torreira, Kante

Lyon itataka euro milioni 50 sawa na pauni milioni 46 kwa makubaliano yoyote yanayomhusisha kiungo wa kati wa Ufaransa Houssem Aouar, 22, baada ya kukataa ofa ya Arsenal ya euro milioni 36. (RMC Sport)

No comments

Powered by Blogger.