Header Ads

Header ADS

Majaliwa awasili Korea ya Kusini kwa Ziara ya kikazi

 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary wakipokea maua kutoka kwa watoto Neviah Mwamlima   (kushoto) na  Bradley Massawe wakati  walipowasili kwenye hoteli ya Lotte  iliyopo Seoul nchini Korea ya Kusini, Oktoba 24, 2022  kuanza ziara ya kikazi nchini humo.  Kulia ni Balozi wa Tanzania nchini humo,  Mhe. Togolani Mavura. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza  na Balozi wa Tanzania nchini Korea ya Kusini, Mhe. Togolani Mavura wakati alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Incheon nchini Korea ya Kusini  Oktoba 24, 2022 kwa ziara ya kikazi nchini humo.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)



  Waziri Mkuu, Kassim. Majaliwa na Mkewe Mary Majaliwa wakisalimiana na baadhi ya watanzania waishio  nchini Korea ya Kusini waakati walipowasili kwenye hoteli ya Lotte iliyopo Seoul nchini humo  Oktoba 24, 2022 kwa ziara ya kikazi . (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


No comments

Powered by Blogger.