Header Ads

Header ADS

MKURUGENZI WA JIJI LA MWANZA ANUSURIKA KICHAPO KWA WALIMU

  Walimu kutoka Wilaya ya Nyamagana wavamia Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza kwa madai ya kulimbikizwa mishara yao ikiwanipamoja na upandishaji wa Madaraja na hela za Uhamishwa wa Walimu kutolipwa. Wakisungumza jiji Mwanza Walimu hao wa meonyesha kukatishwa tamaa.

No comments

Powered by Blogger.