MGOMBEA URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KWA TIKETI YA CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] DOCTOR JONH MAGUFULI
Akihutubia ktk viwanja vya Polisi Mjini Makambako ,amewaahidi wananchi kuwa endapo watampa ridhaa la kuiongoza nchi atatekeleza vipaumbele vifuatavyo.
.Kushughulikia kero za Maji ktk Mji wa makambako
.Kuboresha Hosipili ya mji wa Makambako ikwa ni pamoja na kuweka vifaa kwaajili ya upasuaji kwa wakina mama.
.Ataongezea kilomita 6 za Barabara ktk Mji wa Makambako.
Shule kuanzia Darasa la Kwanza hadi Kidato cha NNE itakuwa bure endapo atapita
Kwa upande Mwingine Magufuli amesema endapo atapata ridhaa atahakikisha kila kata inapata mkopo wa sh.150 milion.
Pia amesema anaombawananchi wachague CCM Madiwani ,Wabunge na Rais Iliawezekufanya kazi vizuri.
.Kushughulikia kero za Maji ktk Mji wa makambako
.Kuboresha Hosipili ya mji wa Makambako ikwa ni pamoja na kuweka vifaa kwaajili ya upasuaji kwa wakina mama.
.Ataongezea kilomita 6 za Barabara ktk Mji wa Makambako.
Shule kuanzia Darasa la Kwanza hadi Kidato cha NNE itakuwa bure endapo atapita
Kwa upande Mwingine Magufuli amesema endapo atapata ridhaa atahakikisha kila kata inapata mkopo wa sh.150 milion.
Pia amesema anaombawananchi wachague CCM Madiwani ,Wabunge na Rais Iliawezekufanya kazi vizuri.
No comments
Post a Comment