Kingunge Apanda Jukwa na kumnadi Lowassa Asema CCM Imeishiwa Pumzi
Mwanasiasa Kikongwe na miongoni mwa waasisi wa chama cha Mapinduzi CCM ,Kingunge Ngombale Mwiru jana alihutubia katika jukwaa la Kampeni za Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA na kusema chama Tawala [CCM] Kimeishiwa Pumzi .
Katika mkutano wa kumnadi mgombea uraisi kwa tiketi ya CHADEMA [UKAWA] Edward Lowassa katika viwanja vya Sinoni mkoani Arusha.
Katika mkutano wa kumnadi mgombea uraisi kwa tiketi ya CHADEMA [UKAWA] Edward Lowassa katika viwanja vya Sinoni mkoani Arusha.
No comments
Post a Comment