KINGUNGE NGOMBALE MWIRU ASEMA CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM]KIMEKOSA UEREDI NA UADIRIFU WA KUWATUMIKIA WATANZANIA
Ikiwa ni siku chache baada ya Mwanasiasa Mkongwe Kingunge Ngombale Mwiru, kutangaza kujitoa na siasa ndani ya chama cha CCM.Ambacho kimemlea na amekulia kwa miaka mingi ndani ya CCM.Ameamua kukigeuka na kuenda upande wa pili [UKAWA]. Kwamadai ya kuwa anataka mabadiliko kwani mabadiliko hayawezi kutoka ndani ya CCM.
Mwanasiasa huyo alikuwa ni miongoni mwa makada wachache watiifu waliokuwa wamesalia walau na chembembe ndogo za Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere na waumini wakubwa wa ujamaa.
Kingunge amekuwa mwandishi mkuu wa ilani wa chama cha CCM,Tangu kuasisiwa upya kwa mfumo wa vyama vingi nchini mwaka 1992,kwa vyovyote iwavyo CCM wamepoteza mtu muhimu kwa uhai na mustakabali wake.
Mwanasiasa huyo alikuwa ni miongoni mwa makada wachache watiifu waliokuwa wamesalia walau na chembembe ndogo za Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere na waumini wakubwa wa ujamaa.
Kingunge amekuwa mwandishi mkuu wa ilani wa chama cha CCM,Tangu kuasisiwa upya kwa mfumo wa vyama vingi nchini mwaka 1992,kwa vyovyote iwavyo CCM wamepoteza mtu muhimu kwa uhai na mustakabali wake.

No comments
Post a Comment