LOWASSA ATAKA SERIKALI TATU
Hatimaye Mgombea Urais kwa tiketi ya chama cha Democrasia na Maendeleo Chadema kupitia UKAWA ,amezungumza kuundwa kwa katiba mpya itakayokuwa na Serikali Tatu itakayoipa Zanzibar mamlaka kamili.
Lowassa amekuwa hazungumzii suala lakatiba mpya ,ambayo mchakato wake ulisababisha kuzaliwa kwa UKAWA , unaoundwa na na Vyama vya Chadema, CUF,NLD,NCCR-Mageuzi.
Vinavyodaikuwa CCM ilipuuza maoni ya Wananchi ,ambayo nipamoja na kutaka muundo wa Muungano uwe waserikali tatu. Akizungumza kwenye Uwanja wa Tanganyika Packers jijini Daressalaam mapema wiki hii, Lowassa alidokezakidogo kuhusu mchakatoalipo mtaka mwanasheria mkuu wa Chadema,Tundulisu,John Mnyika kumuachia suala la Katiba Mpya alisema linataka utulivu na kwamba atalishughulikia.
Lowassa amekuwa hazungumzii suala lakatiba mpya ,ambayo mchakato wake ulisababisha kuzaliwa kwa UKAWA , unaoundwa na na Vyama vya Chadema, CUF,NLD,NCCR-Mageuzi.
Vinavyodaikuwa CCM ilipuuza maoni ya Wananchi ,ambayo nipamoja na kutaka muundo wa Muungano uwe waserikali tatu. Akizungumza kwenye Uwanja wa Tanganyika Packers jijini Daressalaam mapema wiki hii, Lowassa alidokezakidogo kuhusu mchakatoalipo mtaka mwanasheria mkuu wa Chadema,Tundulisu,John Mnyika kumuachia suala la Katiba Mpya alisema linataka utulivu na kwamba atalishughulikia.
No comments
Post a Comment