Serikali yakiri pengo la Sitta kuto zibika
Serikali imekiri kwamba pengo la Spika mstaafu Samuel Sitta ni kubwa na kamwe halitazibika ndani ya serikali ,chama na jamii kiujumla.Hayo yamezungumzwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakati akitoa salamu za Rais John Magufuli makamu wake Samia Suluhu Hassan kwenye maziko ya Spika huyo yaliyofanyiko kitongoji cha Menge Urambo Mkoani Tabora.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na
Mkewe Mary wakiweka udongo
kwenye kaburi la Spika mstaafu
Samuel Sitta katika maziko yaliyo
fanyika Urambo Tabora.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na
Mkewe Mary wakiweka udongo
kwenye kaburi la Spika mstaafu
Samuel Sitta katika maziko yaliyo
fanyika Urambo Tabora.
No comments
Post a Comment