Header Ads

Header ADS

Kiongozi wa Upinzani Nchini Urusi Alexei Navalny afungwa jela siku 15.















 Kiongozi huyo wa Upinzani Nchini Urusi Alexei Navalny  amehukumiwa kifungo cha  siku 15 jela kw kukiuka amri za polisi wakati wa maandamano makubwa ya siku ya jumapili .
              Bwana Navalny alikuwa miongoni mwa mamia ya watu walio kamatwa kwa kuhusika kwenye mikutano kadha kote nchini .
               Mahakama mjini Moscow  mapema ilmpiga faini ya karibu dola 350 kwa kupanga maandamano yaliyoharamishwa.

No comments

Powered by Blogger.