Header Ads

Header ADS

Singida united imefanya usajili mwingine wa mastaa wa kimataifa


            Club ya Singida United ya Singida ambayo imepanda kucheza Ligi kuu Tanzania bara katika msimu wa 2017/2018.Leo march 26/2017 imedhihirisha kuwa imedhamiria kuleta upinzani  katika michezo yake  ya ligi kuu msimu ujao na wala sikuwa wasindikizaji
















    Singida imedhihirisha hiol kwa kutangaza kufanya usajili  wawachezaji wawili wapya  wa kimataifa  kutoka Zimbabwe  ambao ni Elisha Muroiwa mwenye umri miaka 27 na  Wisdom Mtasa mwenye umri miaka 22. Wachezaji hao wote wamesaini mikataba ya miaka miwili.




























No comments

Powered by Blogger.