Header Ads

Header ADS

Baada ya taarifa ya makontena ya mchanga ya dhahabu Spika wa Bunge Job Ndugai kutembelea bandari leo










 


Moja kati ya habari ambazo zimekuwa zikijadiliwa kwa hivi karibuni ni pamoja na hili  la bandari ya Daresaamu kuhusu kubainika kwa makontena 256 ya mchanga wa dhahabu yaliyo kuwa njiani kusafirishwa kwenda nje ya nchi siku chache baada ya Rais  Magufuli kufanya ziara ya kushitukiza


         Leo march 26/2017 Spika wa Bunge la Jamhuri wa muungano wa Tanzania Job Ndugai  akiambatana na kamati ya Bunge  ya nishati na madini  wametembelea katika bandari  ya DareSaalam lengo likiwa  kutaka kupata ufafanuzi  wa kina kuhusu makontena  hayo ili bunge kama ni chombo cha  kushauri serikali kuchukua hatua


No comments

Powered by Blogger.