Header Ads

Header ADS

Wakili apinga ushahidi wa video katika kesi ya Lema.













             Wakili wa utetezi , John  Mallya  akipinga ushahidi wa Video wa Ofisi wa Polisi Inspekta Ariestides   Kasigwa  kuwasilishwa katika mahakama  ya Wilaya ya Arusha , Alisema hautakuwa na uhalisia  kwa kuwa siye aliyeandaa video hiyo .
            Ikumbukwe kuwa ushahidi uliowekewapingmizi  kuwasilishwa mahakamani hapo ni ripoti  ya uchunguzi wa mkanda wa video [tepu] na CD zinazodaiwa kumrekodi Mbunge wa  Arusha Mjini Godbless  Lema ,Akitoa maneno ya uchochezi dhidi ya Rais ,Magufuli.

No comments

Powered by Blogger.