Header Ads

Header ADS

Spika Ndugai Mgeni Rasmi Katika Uzinduzi Wa Kanuni Za Kudumu Za Bunge La Kenya Za Lugha Ya Kiswahili


Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akizindua Kanuni za Kudumu za Bunge la Kenya za lugha ya Kiswahili katika hafla iliyofanyika leo katika Bunge la Kenya, Nairobi nchini Kenya. Kuanzia kushoto ni Kiongozi wa Walio wengi Bungeni (Majority Leader), Mhe. Aden Duale, Spika wa Bunge la Kenya, Mhe. Justin Muturi na Naibu Spika wa Bunge la Kenya, Mhe. Moses Cheboi.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akiteta jambo na Spika wa Bunge la Kenya, Mhe. Justin Muturi wakati wa hafla ya uzinduzi wa Kanuni za Kudumu za Bunge la Kenya za lugha ya Kiswahili na taarifa za Mwaka za Utendaji Kazi wa Kamati tukio lililofanyika leo katika Bunge la Kenya, Nairobi nchini Kenya.

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (katikati) akiimba wimbo wa Taifa wa Tanzania wakati wa hafla ya uzinduzi wa Kanuni za Kudumu za Bunge la Kenya za lugha ya Kiswahili na taarifa za Mwaka za Utendaji Kazi wa Kamati tukio lililofanyika leo katika Bunge la Kenya, Nairobi nchini Kenya. Kulia ni Spika wa Bunge la Kenya, Mhe. Justin Muturi na Kushoto ni Kiongozi wa Walio wengi Bungeni (Majority Leader), Mhe. Aden Duale.

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akizindua taarifa za Mwaka za Utendaji Kazi wa Kamati katika hafla iliyofanyika leo katika Bunge la Kenya, Nairobi nchini Kenya. Kushoto ni Spika wa Bunge la Kenya, Mhe. Justin Muturi na Naibu Spika wa Bunge la Kenya, Mhe. Moses Cheboi.

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akizungumza na Waheshimiwa Wabunge na Wageni waalikwa (hawapo kwenye picha) katika hafla ya uzinduzi wa Kanuni za Kudumu za Bunge la Kenya za lugha ya Kiswahili na taarifa za Mwaka za Utendaji Kazi wa Kamati tukio lililofanyika leo katika Bunge la Kenya, Nairobi nchini Kenya.

No comments

Powered by Blogger.