Header Ads

Header ADS

Umoja Wa Mataifa(UN) Wataja Matazizo Yanayoikumba Zaidi Afrika

  Shirika la Umoja wa Mataifa (UN) limeangazia majanga ambayo yanakumba bara la Afrika miongoni mwao ukame nchini Zambia na mafuriko ya maji nchini Somalia na Sudan Kusini.


 Aidha,Katibu Mkuu wa shirika hilo Antonio Guterres alisema kuwa Sudan Kusini imeathirika zaidi kutokana na mafuriko tangu mwezi wa Julai. Takriban watu 900,000 wameathirika nchini humo ikiwemo wakimbizi wa ndani na wenyeji.

Hata hivyo,Zambia kwa upande mwingine imekumbwa na janga la ukame kutokana na ukosefu wa mvua, hali ambayo haijatokea tangu mwaka wa 1981.

No comments

Powered by Blogger.