Header Ads

Header ADS

GROSAL INSTITUTE TRAINING COLLEGE

maka%2BchuoP.O.BOX,369 MAKAMBAKO - NJOMBE
                                                  TELL:0762624906
                                                 Email:grossalinstitutetrainingc@gmail.com
GROSSAL INSTITUTE TRAINING COLLEG [GITC].
WANAFUNZI%2BOMPUA
  Ni Chuo kinachotoa mafunzo ya kozi mbalimbali .Chuo kinapatikana Makambako Mkoa wa Njombe ,Pia chuo kinavifaa vya kutosha kwa ajili ya kujifunzia kwa vitendo na kinatoa wahitimu mahiri wenye uwezo wa kufanya kazi sehemu yeyote ile kwenye makampuni mbalimbali pamoja na Taasisi za kiserikali.

CHUO KINATANGAZA NAFASI ZA MASOMO KWA KOZI ZIFUATAZO.

           . HOTEL  MANAGEMENT & FRONT OFFICE SERVICES 
           . TOURISM  MANAGEMENT ,TRAVEL AGENCY & WILDLIFE MANAGEMENT.
           .JOURNALISM & MASS COMMUNICATIO.
           . COMPUTER APPLICATION.
           . VIDEO PRODUCTION 
           .COMMUNITY DEVELOPMENT .
           .NURSERY  SCHOOL TEACHING 

Wahitimu wakimaliza masomo chuo huwatunuku cheti na wanakuwa na uwezo wa kuajiliwa pamoja na kujiajili popote pale kwani chuo kina usajili wa kudumu kutoka Serikalini kupitia Wizara ya Mafunzo ya Ufundi na UtamaduniTanzania.
          Chuo kinahotel za kisasa kwa wanachuo wanao toka mbali na zinatolewa kwa gharama nafuu sana.
         Usajili wa wanachuo unafanyika Makambako Mkoani Njombe.au 
          kwa mawasiliano piga simu :0762624906   . Wote mnakaribishw.



Ni baadhi ya wanachuo cha GITC MAKAMBAKO.Wakiwa katika Ziara ya kujifunza kwa vitendo katika hifadhi moja ya wanyama iliyopo Mbeya [Ifisi Zoo].























No comments

Powered by Blogger.