Wizara ya Afya yajibu kuhusu Madaktari wanaotuhumiwa kuomba rushwa ya ngono
Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imetolea ufafanuzi kuhusu tuhuma za rushwa ya ngono kwa madaktari wanaofanya mazoezi ya vitendo katika Hospitali ya Rufaa kanda ya Mbeya


No comments
Post a Comment