Header Ads

Header ADS

Rais Samia afanya uteuzi

 Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Bw.Jaffar Mohamed Haniu kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Kabla ya uteuzi huo Bw. Haniu alikuwa Mkuu wa Vyombo vya Habari vya African Media Group Limited.



No comments

Powered by Blogger.