Header Ads

Header ADS

Maandamano yaendelea Sudan kwa siku ya pili baada ya mapinduzi

       Umati wa raia wa Sudani  umeingia kwenye mitaa ya Mji Mkuu wa Sudani kufanya maandamano ya kupinga mapinduzi ya Kijeshi yaliyofanyika jumatatu 
     kwa mjibu wa taarufa taklibani watu 10 walilipotiwa kuuwawa na wengine makumi kadhaa kujeruhiwa wengi wao ikiwa ni kutokana na risasi zilizofyatuliwa na Wanajeshi kwenye makundi ya waandamanaji .
 Kuna idadi kubwa ya Wanajeshi  waliopelekwa mitaani na wengine wamefunga mitaa inayounganisha Mji mkuu na  maeneo mengine ya Nchi 


No comments

Powered by Blogger.