Header Ads

Header ADS

waandishi wa habari wafariki katika ajali ya gari

   Kwa mjibu wa taarifa zilizo tolew na Chama cha Waandishi wa habari  Mkoa wa mwanza  waliofariki katika ajali ni  

1.Husna Milanzi - ITV 

2.Johari Shani - Uhuru Digital 

3.Antony Chuwa - Freelancer 

4.Abel Ngapenda - Afisa Habari ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mwanza 

5.Steven Msengi - Afisa Habari Ukerewe.

             Majeruhi. 

1.Tunu Heman - Freelancer 

2 Vany Charles  - Icon TV

 

Waandishi wa habari waliofariki dunia kwenye ajali

Kazi ya Bwana haina makosa, jina lake lihidimiwe.

 



No comments

Powered by Blogger.