Header Ads

Header ADS

Polisi wataka wananchi kujitokeza Mahakamani kutoa ushahidi

 Kamanda wa Polisi mkoa wa Arusha Justine Masejo, amewataka wananchi kujitokeza mahakamani kutoa ushahidi ili kuepukana na changamoto ya kesi nyingi kuharibika kutokana na ushahidi kukosekana, kitendo ambacho kinapelekea watuhumiwa wanaokamatwa kuendelea kutamba mtaani.
    Kauli hiyo ameitoa  wakati akipokea kituo kidogo cha polisi Kisongo kilichojengwa na Taasisi ya Umoja wa Mataifa IRMCT Arusha, na kusema kwamba upo umuhimu wa watu kufika mahakamani pale wanapohitajika

No comments

Powered by Blogger.