Header Ads

Header ADS

Afariki kwa ajali ya gari kugonga Treni

 Mtu mmoja amefariki dunia baada ya gari ndogo aina ya Toyota Hilux kugonga treni katika makutano ya reli na barabara eneo la Kilimahewa mkoani Morogoro.

Kamanda wa polisi wa mkoa wa Morogoro, Fortunatus Musilimu amesema ajali hiyo imetokea usiku wa kumkia leo na kusababisha kifo cha dereva wa gari hiyo, Michael Mgombela mwenye umri wa miaka 34.


No comments

Powered by Blogger.