Header Ads

Header ADS

CHADEMA yafanya mabadiliko ya Makatibu wa Kanda


Katibu Mkuu wa Chadema Mh John Mnyika, amefanya mabadiliko madogo ya Watendaji wa Kanda , kwa kumhamisha Katibu wa Kanda ya Nyasa Emmanuel Masonga na kumpeleka kanda ya Kati , huku aliyekuwa Katibu wa Kanda ya Kati Gwamaka Mbughi akihamishiwa Kanda ya Nyasa .
Mabadiliko hayo ni ya Kawaida yaliyolenga kuboresha Utendaji na yanaanza mara moja .

No comments

Powered by Blogger.