Header Ads

Header ADS

Mkurugenzi wa LHRC Dk Helen Kijo Bi simba amesema Rais anatakiwa kuwasikiliza waliompa kura













Mkurugenzi huyo wa kituo cha sheria na haki za binadamu wamepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za RC  Makonda kuingia katika ofisi za Clouds media akiwa na askari wenye silaha .
 Bisimba ametoa mwito kwa serikali imchukulie hatua za kinidham na kijinai mkuu huyo wa mkoa

No comments

Powered by Blogger.