Header Ads

Header ADS

Mwanadiplomasia mkuu wa Marekani: 'Ukraine itamshinda Putin'

 Katika mahojiano na CNN siku ya Jumanne, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Antony Blinken alitabiri Ukraine huru itakuwepo kwa muda mrefu zaidi ya rais wa Urusi.

"Kwanza kabisa, kutakuwa na Ukraine, Ukraine huru kwa muda mrefu zaidi kulikovile kutakuwa na Vladimir Putin," alimwambia mtangazaji Wolf Blitzer.

"Kwa njia moja au nyingine, Ukraine itakuwepo na wakati fulani Putin hatakuwepo."



No comments

Powered by Blogger.